23.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Sido yaongeza wawekezaji, ajira

Christina Gauluhanga, Dar es Salaam

Shirika la kuhudumia Viwanda Vidogo (Sido), limefanikiwa kuongeza idadi ya wawekezaji , ubunifu na ajira kupitia mfumo wa Kongano.

Akizungumza leo Julai 4, katika Maonyesho ya 43 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba (DITF-), Mkurugenzi Maendeleo ya Teknolojia na Uendelezaji Viwanda, Mhandisi Emmanuel Saiguran amesema, Kongano hilo lilianza Mwaka 2006.

Amesema Sido limelenga kuwasaidia wajasiriamali wa ndani ili waweze kufikia malengo yao.

Saiguran amesema Shirika la Maendeleo la watu wa Japan (Jica), wanasimamia Kongano tano na Shirika la Maendeleo la Marekani (Sida), wanasimamia Kongano 15 ambapo mbili zipo Visiwani Zanzibar na 13 Tanzania Barabarani.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles