24.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Rhino The Don kuwapa raha mashabiki Januari 8

Na CHRISTOPHER MSEKENA

STAA wa Bongo Fleva anayefanya muziki nchini Marekani, Rhino The Don, ametangaza neema kwa mashabiki wake kukaa tayari kwa ujio wa ngoma mpya, Tingisha utakaotoka Januari, 8, 2021.

Rhino, ameweka wazi kuwa wimbo huo ni moto zaidi kuliko Wekaa aliyofanya na Shetta na ile Sibanduki Kwake aliyomshirikisha Mr Blue, hivyo mashabiki wakae mkao wa kuburudika.

“Nimefunga mwaka 2020 na ngoma niliyofanya na Mr Blue, nashukuru imekuwa kali sana na watu waliipenda, sasa hivi najiandaa kuachia jiwe lingine nadhani Januari, 8, 2021 kwahiyo watu wakae mkao wa kula bata,” alisema Rhino.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles