25.2 C
Dar es Salaam
Friday, March 31, 2023

Contact us: [email protected]

Nick Gordon atamani Kristina arudi

nick-gordon-bobbi-kristina-zoomGEOGIA, Marekani

ALIYEKUWA mpenzi wa marehemu Kristina Brown, Nick Gordon, amesema hawezi kuishi bila mpenzi wake huyo.

Gordon aliandika katika ukurasa wake katika mtandao wa Twitter kwamba ataendelea kumkumbuka mpenzi wake na mama mkwe wake, Whitney Houston, aliyefariki mwaka 2012.

“Nitaendelea kumkumbuka Kristina na mama yake kwa kuwa nilikuwa nawapenda sana, nilikuwa siwezi kufanya lolote bila Kristina.

“Kila siku wakati wa kulala mawazo yangu mengi ni juu ya Kristina, nitapotea katika maisha haya bila yeye, nataka arudi duniani,” alisema Gordon.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
211,315FollowersFollow
564,000SubscribersSubscribe

Latest Articles