23.2 C
Dar es Salaam
Saturday, July 27, 2024

Contact us: [email protected]

Ne-Yo afurahi kupata mtoto wa kiume

Ne-YoNEW YORK, MAREKANI

MKALI wa muziki wa RnB nchini Marekani, Shaffer Smith (Ne-Yo), amefurahishwa na mkewe, Crystal Renay, aliyefunga naye ndoa wiki iliyopita kwa kumpatia mtoto wa kiume.

“Ni furaha kuitwa baba, lakini furaha yangu kubwa ni kupata mtoto wa kiume, nilikuwa natamani muda mrefu na nashukuru Mungu imekuwa kama nilivyomuomba,” alisema Ne Yo.

Hata hivyo, msanii huyo kwa sasa ana jumla ya watoto watatu, wa kwanza wa kiume, Mason Evan wa pili wa kike, Madilyn Grace na huyu wa sasa ambaye ni wa kiume.

“Familia kwa sasa inakuwa kubwa, kilichobaki ni kutekeleza majukumu ya kuilea familia yangu, sitaki waje kuyumba maishani mwao,” aliongeza Ne-Yo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
589,000SubscribersSubscribe

Latest Articles