24.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

MUHIMBILI KUANZA KUFANYA UCHUNGUZI WA VIRUSI VYA HOMA YA INI

mnh-welcome-sign-640x375

Hospitali ya Taifa Muhimbili inatarajia kuanza kufanya uchunguzi wa virusi vya homa ya ini (hepatitis B) na kutoa tiba kwa kutumia dawa ya Tenofovir.

hep-b

Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ini na Matumbo, John Rwegasha amesema hayo hii leo alipozungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Muhimbili.

Amesema ugonjwa wa homa ya ini ni hatari na kwamba maambukizi yake ysnashabiana na yale ya virusi vya ukimwi

 

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles