24.7 C
Dar es Salaam
Tuesday, March 19, 2024

Contact us: [email protected]

Matukio kwa picha: DAWASA kazini

Fundi wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Vicent Attanasi, akibadilisha bomba la inchi 4 na kuweka bomba la Inchi 8 eneo la Mlimani city ili kuongeza wingi wa maji yanayopatikana eneo hilo.

DAWASA inaendelea kuboresha huduma ya maji kwenye maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam na Pwani ili kuhakikisha wananchi wanapata ya uhakika.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
584,000SubscribersSubscribe

Latest Articles