Fundi wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Vicent Attanasi, akibadilisha bomba la inchi 4 na kuweka bomba la Inchi 8 eneo la Mlimani city ili kuongeza wingi wa maji yanayopatikana eneo hilo.
![](https://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2021/01/ccd1638f-3292-4185-bc43-b8de3377d48f.jpg)
DAWASA inaendelea kuboresha huduma ya maji kwenye maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam na Pwani ili kuhakikisha wananchi wanapata ya uhakika.
![](https://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2021/01/f33db00d-5ddb-4832-8d1b-4c943e6dda03-1024x766.jpg)