23.3 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Malawi yatangaza corona janga la kitaifa

Lilongwe, Malawi

Rais wa Malawi, Lazarus Chakwera amelitangaza corona kuwa janga la kitaifa kutokana na kuongezeka kwa kasi kwa maambukizi ya virusi vya nchini humo.

Katika hotuba maalum kwa taifa hapo jana, Rais Chakwera amesema, kufuatia ongezeko kubwa la vifo na maambukizi mapya ya virusi vya Corona, ataitisha mkutano wa dharua kujadili hatua zijazo za kinga na udhibiti.

Pia ametoa wito kwa Jumuiya ya kimataifa kuongeza misaada kwa Malawi ili kuisaidia kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazotokana na janga la COVID-19.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles