31.2 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

Kitonga Deile Jackpot yaibua washindi 24 ndani ya siku 4 tu!

Haijawahi kutokea washindi 24 Jackpot ndani ya siku nne.

Huku Betika mambo yanazidi kuwa matamu katika kila siku mpya, na sasa ushuhuda huu unadhihirika hadharani baada ya washindi 24 kujizolea mapesa yao ndani ya Jackpot. Hii ‘Haijawahi’ kutokea kwingine.

Washindi hawa 24 ambao sasa wanatamba na pesa zao mitaani wameshinda mikwanja yao kupitia Kitonga deile Jackpot pekee ambayo ni Jackpot rahisi zaidi inayotoa washindi wengi hapa Tanzania.

Betika inataka wewe ushinde na uzidi kuongeza idadi ya washindi wengine katika Kitonga Deile Jackpot ambayo inakuwezesha kushinda 1,000,000 kila siku.

Changamkia fursa hii ya kibabe kwa kuingia katika tovuti yetu kupitia www.betika.co.tz ukifika hapo gonga pale kulipoandikwa Kitonga Deile Jackpot kisha chagua mechi zako ambazo ni 8 tu na ushinde kibabe.

Nafasi ni yako ya kuungana na washindi hawa 24 na kuifanya Januari yako kuwa nyepesi kwa kushiriki na kuchagua mechi ambazo ni nane tu, kisha weka ubashiri ukitumia dau la sh 250 tu na maisha yako yatabadilika fastaa.

Hii ni yako wewe na mwenzio kutoka Betika ambao mpaka sasa hawana mpinzani katika kutoa washindi kwa dau dogo,huna sababu ya kuikosa fursa hii,cheza sasa ili Januari yako iwe nyepesi .

Kwa maelezo zaidi kuhusu Kitonga Deile Jackpot na huduma zetu zingine kutoka Betika usisite kuwasiliana nasi kwa namba 0659 070 700.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles