24.8 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

KAMBI KUPAA KIMATAIFA

kambiNA JOSEPH SHALUWA

MKONGWE kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Hashim Kambi amesema anamshukuru Mungu kwa kumaliza na kuuona Mwaka Mpya akiwa nchini Mare­kani huku akiahidi kuzidi kutusua kimataifa mwaka huu.

Akizungumza na Swaggaz kwa njia ya simu kutokea Wash­ington DC, Marekani, Kambi amesema yupo katika hatua za mwisho kukamilisha sinema mpya anayorekodi nchini humo akiwa na mwigizaji mwenzake, Charles Magali.

“Tunaendelea na kurekodi huku Marekani, kazi ni nzuri sana na naamini itazidi kunitangaza kimataifa. nimejiwekea nadhiri kwamba lazima nitafute zaidi masoko ya kimataifa kwa sasa maana hapo nyumbani nimesha­tengeneza heshima vya kuto­sha,” alisema.

Mahojiano zaidi na msa­nii huyo kuhusiana na safari ya Marekani na namna tasnia ya ui­gizaji ilivyo nchini humo, usikose kusoma jarida hili wiki ijayo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles