27.5 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

Kamati Kuu CCM kukutana kesho

Rais mstaafu Jakaya Kikwete
Rais mstaafu Jakaya Kikwete

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC) inatarakuwa kukutana kesho jijini Dar es Salaa chini ya Mwenyekiti wake Rais mstaafu Jakaya Kikwete.

Taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Msemaji wa CCM, Christopher ole Sendeka, ilieleza kuwa kikao hicho pamoja pamoja na mambo mengine kitajadili masuala kadhaa ya chama hicho ikiwa kutangazwa kwa tarehe ya mkutano mkuu maalumu.

Katika mkutano huu inatarajiwa Kikwete, atakabidhi chama kwa Rais Dk. John Magufuli.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles