31.2 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

JB awataka radhi mashabiki

JABMKALI wa filamu za kibongo, JB amewaomba radhi mashabiki wake kwa mkosa mbalimbali ya kiufundi ambayo
yalitokea kwenye baadhi ya kazi zake mwaka uliopita na amewataka waendelee kumuunga mkono mwaka huu.

‘Niwashukuru mashabiki wangu kwa kuendelea kuniunga mkono hasa kwenye filamu yangu ya Chungu cha Tatu ambayo nimeiachia wiki chache zilizopita nawaahidi kazi nzuri zenye ubora zaidi mwaka huu,’ aliandika JB kwenye ukurasa wake wa Facebook.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles