23.3 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

FID Q AMWEKA HADHARANI MPENZI WAKE

NA CHRISTOPHER MSEKENA

RAPA Fareed Kubanda ‘Fid Q’ ameamua kujilipua kwa kumweka hadharani mpenzi wake mapema katikati ya wiki hii kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Katika kile kinachoonekana kufuata nyayo za washkaji zake, FA na AY walioamua kuwaweka hadharani wapenzi wao, Fid Q ameonekana kujiachia na mpenzi wake huyo kwa kupiga selfie kwa kujiachia.

Moja ya picha zilizotikisa mitandao ya kijamii inayomwonyesha Fid Q akiwa na mpenzi wake huyo ambaye ni mgeni machoni pa watu wengi, aliandika, “Blessed beyond measure.”

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles