28.2 C
Dar es Salaam
Friday, February 14, 2025

Contact us: info@mtanzania.co.tz

Davido akana kupima DNA

Davido-11NA BADI MCHOMOLO

IKIWA ni miezi mitatu tangu msanii wa muziki nchini Nigeria, David Adeleke ‘Davido’ apate mtoto wa kike aliyezaa na mpenzi wake wa zamani, msanii huyo amesema hana mpango wa kupima vina saba ‘DNA’ kwa kuwa anaamini mtoto huyo ni wake.

“Ningefanya hivyo kama ningekuwa na wasi wasi, lakini kwa sasa wala sina wasi wasi wowote na ninakubali kuwa ni mtoto wangu maana anafanana sura na mimi,” alisema Davido.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
594,000SubscribersSubscribe

Latest Articles