25.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Chadema yaita mameya wake wa mkoa wa Dar.

13876260_1059593314094578_913095196427276378_n

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewaita mameya wake wa mkoa wa Dar es Salaam kufuatia sakata la kupandisha tozo la kupaki magari jijini dar.

Uongozi wa juu wa chama hiko umeagiza mameya wake kufika makao makuu ya chama hicho kwa majadiliano. Chanzo cha habari hii kinadai kuwa mameya hao hawakutoa taarifa ya jambo hili zito na nyeti kwenye chama chao na inaelezwa pia kuna uwepo wa kuliamua jambo hilo kwa makusudi bila kupima athari yake kisiasa.

 

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles