24.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

CARDI B KUTUMIA BILIONI MOJA KWA AJILI YA HARUSI

LOS ANGELES, MAREKANI


MWANAMUZIKI wa Rap kutoka Marekani, Cardi B, amepanga kutumia dola milioni moja ambayo ni sawa na Sh  bilioni mbili za Tanzania, katika sherehe yake ya harusi itakayofanyika hivi karibuni.

Mwanamuziki huyo anatarajia kufunga ndoa na mwanamuziki wa Rap, Kiari Kendrell Cephus maarufu kama Offset, kutoka kwenye kundi la Migos la Marekani.

Cardi ambaye alivishwa pete ya uchumba Oktoba mwaka huu, alisisitiza kwamba matumizi yake katika harusi hiyo hayataingiliana na mumewe mtarajiwa Offset.

Akizungumzia siku ya harusi yao, Cardi B alisema: “Tutatumia fedha nyingi, sidhani kama ni sawa kumuacha Offset kulipa kila kitu, nahisi nitalipa zaidi yake kwani gauni langu huenda likagharimu dola 50,000,” alisema Cardi B.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles