23 C
Dar es Salaam
Wednesday, April 17, 2024

Contact us: [email protected]

Cardi B amwagia sifa Nicki Minaj

LOS ANGELES, MAREKANI

RAPA machachari wa kike nchini Marekani, Cardi B, amemwagia sifa hasimu wake kwenye rap, Nicki Minaj kwa kutawala muziki katika kipindi cha miaka 10 iliyopita mfululizo.

Cardi ameueleza mtandao wa Apple Music kuwa katika makuzi yake kulikuwa na rapa wengi wa kike ila walikuja kupotea wote mpaka alipoibuka Nicki Minaj na kutawala kwa muda mrefu.

“Nikiwa na miaka sita hadi nane kulikuwa na rapa wengi wa kike ila wote walipotea, ilikuwa inanilazimu kusikiliza nyimbo za zamani, kwasababu hapakuwa na rapa wa kike lakini alitokea rapa mmoja wa kike ambaye alifanya vizuri na bado anafanya hivyo,” alisema Cardi B.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles