23.2 C
Dar es Salaam
Saturday, July 27, 2024

Contact us: [email protected]

BWANA MISOSI AMWIMBIA RAIS MAGUFULI

bwana-misosi

NA GLORY MLAY-DAR ES SALAAM

BAADA ya kimya cha muda mrefu katika muziki, msanii Joseph Lushalu ‘Bwana Misosi’, ameamua kurudi kwa nguvu na wimbo wa kumsifia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.

Wimbo huo unaoitwa ‘Makofi kwa Magufuli’, umeimbwa chini ya ushirikiano kati yake na msanii Nuruel.

“Nimekuja na ujio mpya wa funga mwaka kwa ajili ya kumshukuru Rais wetu kwa kazi yake anayoifanya tangu kuchaguliwa kwake,” alisema Bwana Misosi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
589,000SubscribersSubscribe

Latest Articles