25.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, May 7, 2024

Contact us: [email protected]

J LO: NIMETOKEA FAMILIA MASIKINI SANA

NEW YORK, MAREKANI


NYOTA wa muziki nchini Marekani, Jennifer Lopez ‘J Lo’, ameweka wazi kuwa ametokea katika maisha ya kimasikini sana, ndicho kilichompa moyo wa kutaka kuwa tajiri.

Msanii huyo mwenye miaka 47, kwa sasa anakadiriwa kuwa na utajiri wenye thamani ya Dola milioni 300 ambazo ni zaidi ya bilioni 654 za Kitanzania.

“Ni wazi kwamba nimetokea katika maisha ya kimasikini, labda ningetokea katika familia ya kitajiri nisingekuwa JLo mpambanaji.
“Nilikuwa navaa kiatu kimoja kwa muda mrefu, jambo ambalo sitolisahau katika maisha yangu, lakini kwa sasa nina furaha kwa kuwa nafanya ninachokitaka na ninachokipenda,” alieleza JLo

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
587,000SubscribersSubscribe

Latest Articles