27.5 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

VIONGOZI WA AU WAJADILI MIZOZO

ADDIS ABABA, ETHIOPIA


MARAIS wa nchi za Umoja wa Afrika (AU) waliokutana hapa juzi kwa kikao cha siku mbili wamejadili kuhusu ufadhili wa miradi ya maendeleo ya umoja huo, tatizo la uhamiaji na ufumbuzi wa migogoro katika nchi kadhaa.

Mwenyeketi mpya wa Umoja huo, Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema bila ya kuwepo mshikamano maendeleo ni ndoto barani Afrika.

Mwenyekiti aliyemaliza muda wake, Rais Alpha Conde wa Guinea, amesema kuwa matatizo ya Afrika lazima yatatuliwe na Waafrika wenyewe.

Conde amekosoa vikali uwajibikaji wa vikosi vya Umoja wa Mataifa barani Afrika na kupendekeza kuweko vikosi vya kikanda vya Waafrika wenyewe chini ya Umoja huo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles