Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Tanzanite Support Organization (TSO), Bahati Chando (katikati waliokaa), akiwa katika picha na vijana wanaolelewa na vituo vya watoto yatima baada ya kuwakabidhi yeti vya kuhitimu mafunzo ya Ujasiriamali na Kujitegemea wakati wa hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Dar es Salaam leo.
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Tanzanite Support Organization (TSO), Bahati Chando, akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya Ujasiriamali na Kujitegemea, Abudulkam Jaffar (kushoto), kutoka Kituo cha Chamakua wakati wa hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Dar es Salaam leo.Mhitimu wa mafunzo ya Ujasiriamali na Kujitegemea, Assanath Abass, kutoka Kituo cha Ijango Orphanage Centre akitoa shukrani kwa niaba ya wenzake baada ya kukabidhiwa vyeti vya kuhitimu mafunzo ya Ujasiriamali na Kujitegemea, jijini Dar es Salaam leo.Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Tanzanite Support Organization (TSO), Bahati Chando, akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya Ujasiriamali na Kujitegemea, Jumanne Juma kutoka Kituo cha Ijango wakati wa hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Dar es Salaam leo.