30.2 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

MSHUKIWA WA SHAMBULIZI LA BERLIN AUAWA

mshukiwa

Kijana aliyeendesha shambulizi kwenye soko mjini Berlin Anis Amri, ameuawa kwa kupigwa risasi na polisi mjini Milan nchini Italia.

Awali, Amri aliwafyatulia polisi risasi na kuuwa askari mmoja pale walipotaka awaonyeshe kitambulisho chake wakati wa doria katika eneo la Sesto San Giovani.

Hata hivyo, Ujerumani imekuwa kwenye tahadhari kubwa tangu shambulizi hilo litokee na kupoteza maisha ya watu 49.

Wakati huo huo polisi wamewakamata watu wawili katika mji wa Oberhausen baada ya kushukiwa kupanga mashambulizi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles