30.2 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

LAAC kusimamia kikamilifu rasilimali za umma

Na Mwandishi Wetu, Dodoma

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imesema itahakikisha rasilimali za umma zinazopelekwa kwenye halmashauri zinatumika kama ilivyokusudiwa.

Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Selemani Zedi ambaye pia ni Mbunge wa Bukene (CCM), amesema kuwa baada ya kuteuliwa juzi na Spika wajumbe wa kamati hiyo wameanza kupatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo ili waweze kusimamia matumizi ya rasilimali za umma zinazopelekwa kwenye halmashauri zote nchini.

“Kwa mujibu wa majukumu yetu kikanuni tutahakikisha rasilimali za umma zinazopelekwa halmashauri zinatumika kama zilivyokusudiwa na matumizi yote yanafanyika kwa mujibu wa sheria ya fedha ya Serikali za Mitaa,” amesema Zedi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles