HomeElimu na Teknolojia Elimu na TeknolojiaKitaifa Dk. Bakari ahimiza wananchi kutembelea Banda la TCRA maonesho ya Sabasaba By Mtanzania Digital July 5, 2022 0 1050 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Dk. Jabiri Bakari akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya Ufunguzi wa Maonesho ya 46 ya Maonesho ya Biashara Kimataifa Sabasaba , jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dk. Jabiri Bakari akisaini kitabu cha wageni katika banda la Mamlaka hiyo muda mfupi baada ya kuwasili kwenye Viwanja vya Maonesho ya Biashara-SabaSaba barabara ya Kilwa, Temeke jijini Dar es Salaam. TCRA inashiriki Maonesho hayo kwa kutoa elimu kwa watumiaji huduma za Mawasiliano. Picha: TCRA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Dk. Jabiri Bakari (wa sita kushoto) katika picha ya pamoja na watumishi wa Mamlaka wanaotoa huduma za Mawasiliano kwenye viwanja vya maonesho ya 46 ya biashara SabaSaba jijini Dar es Salaam Wananchi wakiingia na kutoka kwenye banda la TCRA katika Maonesho ya Viwanda na Biashara katika viwanja vya Mwalimu Nyerere Dar es Salaam kupata elimu,huduma na msaada wa huduma za Mawasiliano. - Advertisement - Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Previous articleMajaliwa: Bilioni 54 zitajenga mradi wa maji Ruangwa, NachingweaNext articleWaziri Makamba: Wizara itasimamia miradi ya umeme nchini Mtanzania Digitalhttp://mtanzania.co.tz/ Related Articles Biashara na Uchumi Ushirikiano wa Benki ya Stanbic na Ramani waenda kuboresha sekta ya biashara nchini. Biashara na Uchumi TBL, IFC na COPRA wahimiza mfumo wa kilimo cha mkataba Elimu na Teknolojia Benjamin Mkapa yadhamiria kufuta sifuri matokeo kidato cha nne, sita LEAVE A REPLY Cancel reply Comment: Please enter your comment! Name:* Please enter your name here Email:* You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Website: Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ Stay Connected90,904FansLike214,997FollowersFollow586,000SubscribersSubscribe Latest Articles Biashara na Uchumi Ushirikiano wa Benki ya Stanbic na Ramani waenda kuboresha sekta ya biashara nchini. Biashara na Uchumi TBL, IFC na COPRA wahimiza mfumo wa kilimo cha mkataba Elimu na Teknolojia Benjamin Mkapa yadhamiria kufuta sifuri matokeo kidato cha nne, sita Biashara na Uchumi Mifumo ya kidijitali Brela yachochea maendeleo ya viwanda, biashara Biashara na Uchumi PPRA yasaini mkataba wa makubaliano na UNDP kuongeza ufanisi Load more