27.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Zuchu awashukuru mashabiki kwa mapokezi

NA BEATRICE KAIZA

NYOTA wa muziki wa bongo fleva, Zuhura Omary ‘Zuchu’ amewashukuru mashabiki zake kwa kuupokea wimbo wake mpya aliomshirikisha Diamond Platnumz, uitwao ‘Litawachoma’.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Zuchu alisema hadi sasa hana cha kuwalipa mashabiki zake, lakini anawashukuru kwa mapokezi makubwa.

“Asante mashabiki zangu kwa mapokezi haya, hadi sasa huko Youtube tuna-trend, tuko namba mbili, litawachoma ndani ya saa 15 tu baada ya kuitoa tumefikisha watazamaji zaidi ya laki 5,’’ alisema Zuchu.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles