23.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 18, 2024

Contact us: [email protected]

Zawadi NT aichambua ‘Glory’

QUEENSLAND, AUSTRALIA

MWIMBAJI anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Injili kutoka Australia, Zawadi NT, ameweka wazi kuwa wimbo wake mpya, Glory, umebeba ujumbe mzuri wa kumshukuru na kumtukuza Mungu.


Zawadi mwenye asili ya Jamhuri ya Kidemoksraia ya Kongo (DRC), ameliambia MTANZANIA kuwa wimbo huo ni wa kwanza tangu alipoanza kufanya huduma hiyo hivyo anahitaji kupata mashabiki wapya kutoka Tanzania.


“Wimbo una siku chache kwenye chaneli yangu ya YouTube lakini nimeona mapokezi mazuri japo bado nahitaji kuwafikia wengi. Glory ni wimbo wa kusifu na kumwabudu Mungu kwahiyo kila mtu anaweza kuusikiliza na kubarikiwa nao,” alisema Zawadi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles