25.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 23, 2024

Contact us: [email protected]

Witness: Wanaounda makundi hawajipangi

Kibonge mwepesiNA THERESIA GASPER

WITNESS Mwaijaga ‘Kibonge Mwepesi’, amesema hali ya baadhi ya makundi ya wasanii kutodumu kwa muda mrefu inatokana na kutojipanga vizuri.

Witness alisema imekuwa kawaida kwa makundi hayo kutokudumu kutokana na kutopanga mipango yao mapema na kutoelewana.

“Makundi huwa yanaanza vizuri lakini baada ya kutoa wimbo au video wanasahau kuwa na makubaliano ya kazi zao zinavyokwenda baada ya mafanikio wanaanza migogoro kwa kuwa hawakujitambua kabla hawajaanza,” alisema.

Hata hivyo, alishauri kitu kitakachosaidia makundi kudumu na kuendelea ni maelewano na mipango mizuri kabla ya kuanza kazi zao.

 

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles