25.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 23, 2024

Contact us: [email protected]

Wiki ya wapenda soka, Odds Nono kwa mechi zote Unazipata Meridiabet

Hii ni wiki ya Copa del Rey, EPL, SERIE A, mechi kubwa Zaidi ni usiku wa Alhamis pale ambapo Chelsea na Mamchester City watakipiga. Meridianbet wameamua kukupa furaha mteja wao kwa kumwaga Odds nono kwenye mechi zote.

Hizo Odds Nono za Meridianbet Zinapatikanaje?

Ukibashiri mechi za wiki hii kwenye mashindano mbalimbali utajionea jinsi ambavyo Odds Nono kutoka Meridianbet zilivyoongezwa mara nyingi Zaidi.

AC Milan wakiwa kwenye sehemu nzuri ya msimamo wa Serie A wakiwa nafasi ya 2 wakiwa wamepoteza mechi mbili tu kati ya 18 walizocheza, watakuwa ugenini kucheza dhidi ya Sportiva waliopo nafasi ya 12, wakipoteza michezo 6. Meridianbet wakongwe wa michezo ya kubashiri jiunge sasa na Mabingwa.

AS Roma ya Jose Mourinho wakiwa kwenye nafasi ya 7, watakutana na Bologna wa nafasi 11, Mourinho anaaminika Zaidi kwenye timu yake lakini safari hii anaenda kukutana na timu sumbufu kwenye Serie A. Odds nono zimejaa kwenye mechi hii. Bonyeza hapa kuona.

Juventus atakipiga na Cremonese mwenye Odds nono ya 4.90 huku sare ina 3.62 na ushindi kwa Juventus una Odds nono ya 1.71. Unasubiri nini Rafiki, weka ubashiri wako. Pia Lecce watakipiga na Lazio mapema sana mida ya jioni ushindi n mkubwa kwenye mechi hii.

Kwenye EPL moto utawaka ni Southampton dhidi ya Nottingham Forest, huku upande wa pili ni Aston Villa watakipiga na Wolves ana Odds nono ya 3.72 na ushindi kwa Villa ana 2.01. Jiunge na Meridianbet wababe wa Odds nono.

Mechi kubwa ya kukata na shoka ni Inter Milan dhidi ya Napoli ni mechi ya kufungua mwaka 2023, Napoli anaongoza Ligi huku Inter anashika nafasi ya 5, Odds nono ziko hivi Inter ana 2.35 kwa ushindi, Sare ina 3.38 na Ushindi kwa Napoli una 2.94 unaanzaje kuzikoza hizi kwa mfano.

Ukitupa jicho kule Hispania kuna mechi za Copa Del Rey ni Barcelona akiwa ugenini kukipiga na Intercity, Real Oviedo vs Atletico Madrid, Sevilla atakutana na Linares ugenini. Bashiri na Meridianbet ujizolee Odds bomba.

Mechi ya Kibabe ni Chelsea vs Man City

Ni katika dimba la Stamford Bridge sehemu itakayoikutanisha miamba ya EPL, ni vita ya mbinu kati ya Graham Potter na Pep Guardiola mbinu za kocha gani zitafanikiwa mbele ya mwenzake? Chelsea ana odds nono ya 4.90 huku sare ikiwa na 3.92 na ushindi kwa City una 1.65. Bashiri hapa.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles