23.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

WHO: Corona kuua watu 200,000 Ulaya

SHIRIKA la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limeonya kuwa Bara la Ulaya linaweza kuwa na vifo vipya 236,000 vitokanavyo na Corona ifikapo Desemba, mwaka huu.

Takwimu za WHO zinaonesha kuwa tayari Ulaya ina wagonjwa wa Corona zaidi ya milioni 65, huku waliofariki kwa ugonjwa huo wakifikia milioni 1.3.

Hata hivyo, Shirika hilo limedai kuwa juhudi za kukabiliana na maambukizi ya virusi vya ugonjwa huo zimepuuzwa, ikiwamo nchi mbalimbali kulegeza masharti ya kuzuia mikusanyiko na watu kusafiri.

Alichokisema Mkurugenzi wa WHO barani humo, Hans Kluge, kumekuwapo na ongezeko la wagonjwa, kama ilivyo kwa idadi ya wanaopoteza maisha kila siku.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles