27.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 16, 2024

Contact us: [email protected]

Waziri wa ardhi Lukuvi atembelea Banda la NMB SABASABA

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akipata maelezo kuhusu mikopo ya nyumba kutoka kwa Meneja wa Benki ya NMB Tawi la Temeke na Saba saba Kidawa Masoud alipotembelea Banda hilo wakati wa ziara yake kwenye  maonyesho ya 45 ya Dar es Salaam ya Biashara ya Kimataifa yenye kauli mbiu “Uchumi wa Viwanda kwa ajira na biashara endelevu” na yanayoendelea katika viwanja vya JK Nyerere Barabara ya Kilwa.
Meneja wa Mauzo kwa wateja Binafsi (NMB Direct Sales & Support Manager) Janet Nyamko akiwafunda wanachama wa SIDO kuhusu baadhi ya huduma za Kifedha zinatolewa na NMB kwa wafanyabiashara wadogo wadogo. NMB ilitowa mafunzo haya kwenye  maonyesho ya 45 ya Dar es Salaam ya Biashara ya Kimataifa yenye kauli mbiu “Uchumi wa Viwanda kwa ajira na biashara endelevu” na yanayoendelea katika viwanja vya JK Nyerere Barabara ya Kilwa.
- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles