23.3 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

Waziri Masauni:Askari anamamlaka ya kukagua,kukamata chombo barabarani kisheria

NA MWANDISHI WETU

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,imesema Sheria ya Usalama Barabarani sura ya 168 iliyorejewa 2002 inampa Mamlaka askari polisi kusimamisha chombo chochote barabarani na kukikagua na hatimaye kukizuia na kukikamata.

Hayo yameelezwa Leo Mei 20 Bungeni na Naibu Waziri wa Wizara hiyo,Hamadi Masauni wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum,Rehema Juma Migilla (CUF).

Katika swali lake,Migilla alitaka kujua ni kwanini askari polisi wanapowakamata huchukua baadhi ya vifaa.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles