28.2 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

Wananchi Sudan Kusini wakimbia mapigano, vurugu

Wananchi Sudan Kusini  wakimbia mapigano, vuruguWATU zaidi ya 60,000 wamekimbia makazi yao Sudan Kusini tangu machafuko ya  siasa yaanze tena wiki tatu zilizopita.

Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Wakimbizi (UNHCR) iliyotelewa jana imesema.

Msemaji wa UNHCR, Melissa Fleming, alisema:  “Wametuletea ripoti ya kusikitisha  ya makundi ya waasi wanaojificha kwenye  barabara inayokwenda  Uganda ambao wanawazuia watu wanaokimbia.

“Waasi hayo wanavamia vijiji, wanaua raia na kuwalazimisha vijana wadogo kujiunga na kundi hilo”.

Taarifa za Shirika la Habari la Uingereza (Reuters) zinasema waasi wengi wamekuwa wakienda kwenye mpaka wa  Uganda katika   siku 10 zilizopita na wengine wanakwenda  Sudan na Kenya.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles