24.3 C
Dar es Salaam
Monday, September 16, 2024

Contact us: [email protected]

Waliotoroka gerezani wakamatwa

WAFUNGWA 108 kati ya 240 waliotoroka gerezani nchini Nigeria wamerejea kwenye mikono ya vyombo vya dola.

Taarifa hiyo inakuja baada ya kile kilichotokea mwishoni mwa wiki iliyopita, ambapo watu wenye silaha walivamia gereza katika Jimbo la Kogi na kutorosha wafungwa.

Licha ya kutofahamika, inasaidikiwa kuwa ni sehemu ya vikundi vya kihalifu vilivyotawala maeneo mbalimbali, hasa Kaskazini-Magharibi mwa Nigeria.

Katika tukio hilo la kuvamia gereza, wahalifu walisababisha vifo vya wanausalama wawili.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
589,000SubscribersSubscribe

Latest Articles