23.3 C
Dar es Salaam
Wednesday, April 24, 2024

Contact us: [email protected]

WAALIMU MOROCCO WAANDAMANA KUSHINIKIZA KUBORESHEWA MIKATABA YAO

Na Mwandishi Wetu

Maelfu ya waalimu wa Morocco wameandamana katika mji mkuu, Rabat, wakidai kuboreshewa mikataba yao.

Pamoja na hilo la kudai kupatiwa mikataba ya kudumu, walimu hao pia wanataka wawekewe mazingira mazuri ya kufanyia kazi pamoja na kupinga gharama za maisha zinazoongezeka.

Waandamanaji hao wamekataa mapendekezo ya Serikali ili kukomesha mgogoro huo.

Lakini pia waalimu wa mikataba ya muda mfupi, ambao ni zaidi ya miaka ya 20 na 30, wamekuwa wakipifanya migomo mara kwa mara siku za hivi karibuni zikidai kubadiishwa kwa hali ya mikataba iliyo sasa.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles