29.2 C
Dar es Salaam
Monday, March 17, 2025

Contact us: info@mtanzania.co.tz

Video mpya ya Diamond kuzinduliwa leo

diamond-platnumNA HERIETH FAUSTINE

VIDEO mpya ya msanii wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul, ‘Diamond Platnum’, ‘Make me Sing’, inatarajiwa kuzinduliwa leo itakapochezwa kwa mara ya kwanza katika  televisheni ya MTV Base.

Diamond, anayetarajiwa kwenda nchini Marekani kufanya kazi na mtayarishaji wa muziki, Swizz Beat pamoja na kupiga picha za video yake aliyomshirikisha Neyo, katika video hiyo amemshirikisha mkali kutoka Afrika Kusini, A.K.A.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
595,000SubscribersSubscribe

Latest Articles