31.7 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

UWOYA: NASAKA PESA KWA SABABU YA MTOTO WANGU

Na JESSCA NANGAWE


STAA wa filamu za Bongo Movie, Irene Uwoya, ameweka wazi kwamba bidii yake na ubunifu aliouongeza katika kazi zake anazofanya kwa sasa zinatokana na nia yake ya kutaka kumwandalia mazingira bora mtoto wake, Krish.

Uwoya alisema kwa sasa anaweza kukidhi mahitaji yote ya mwanae lakini hatayamudu kama hataendeleza ubunifu katika sanaa ya uigizaji na shughuli zake nyingine.

“Unajua kadiri mtoto anavyokua mahitaji yanaongezeka, ndiyo maana kila ninapomkumbuka nahisi nina deni kubwa la kumwandalia maisha bora mwanangu,” alieleza Uwoya.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles