27.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 23, 2024

Contact us: [email protected]

USIWEKE CHUMVI NYINGI KWENYE CHAKULA

salt-food-tower.0.0Na WINFRIDA NGONYANI, DAR ES SALAAM

BAADHI ya watu wamekuwa wakiandaa chakula kwa kuweka chumvi nyingi, jambo ambalo si zuri kiafya.

Ni ukweli usiopingika kuwa chumvi ni kiungo kikuu katika chakula, kwani licha ya kukipa radha, pia kiungo hiki hutupatia madini (sodium) mwilini, lakini kinapotumika vibaya kinaweza kuleta madhara makubwa.

Hakikisha unaweka chumvi kiasi kwenye chakula ili kujiepusha na tatizo la shinikizo la damu na magonjwa mbalimbali ya moyo.

Kitaalamu tunashauriwa kutumia chumvi yenye madini joto ili kudhibiti kiwango cha sukari mwilini na kujiepusha na magonjwa mbalimbali kama vile Goita unaosababishwa na matumizi ya chumvi isiyokuwa na madini joto.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles