30.2 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Usahili East Africa Got Talent kufanyika Mei 21

SHINDANO  la kusaka vipaji mbalimbali, Afrika Mashariki, East Africa Got Talent, linaratajia kufanya usahili wake nchini Mei 21 mwaka huu baada ya kuzinduliwa mapema wiki hii Nairobi, Kenya na Dar es Salaam, Tanzania.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa shindano hilo Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media, Joseph Kusaga alisema :

“Washiriki wa EAGT watapatikana katika nchi nne yaani Kenya, Tanzania, Uganda na Rwanda lakini fainali zitakuwa Kenya, sisi Clouds tuliwasiliana na serikali yetu juu ya uwezekano wa kufanya fainali hizo hapa nyumbani lakini kulikuwa na sababu za msingi kuipeleka Kenya moja ikiwa miundombinu inayoruhusu uzalishaji wa tukio kubwa kwa viwango.”

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles