31.2 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

#UBUNIFU


Mshauri wa Usanifu wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd. Adeodatus Kakorozya, akionyesha Nembo ya Ubunifu ya Urithi aliyoshinda katika shindano lililoandaliwa na Wizara ya Maliasili na Utalii la kubuni nembo ya Urithi, kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa nembo hiyo jijini Dar es Salaam leo. Kakorozya amewashinda washiriki wengine zaidi ya 100 waliowasilisha Nembo zao. #MtanzaniaDigital

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles