24.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

‘Tymilyfe’ aiweka wazi LOCO

CHRISTOPHER MSEKENA


KUTOKA jijini London, Uingereza msanii anayefanya poa pande hizo, Samson Otieno ‘Tymilyfe, amerudi kivingine na wimbo, LOCO.


Akizungumza na MTANZANIA, Tymilyfe alisema baada ya mapumziko yaliyosababishwa na ugonjwa wa corona, amewaletea burudani mashabiki kupitia ngoma hiyo ya mapenzi.


“Watu wengi sasa hivi wanataka burudani, nikaona niwape LOCO, huu ni wimbo ambao ninamsifia msichana wa Kiafrika, naonyesha jinsi warembo wa Kiafrika walivyobarikiwa na Mungu pia video tayari imetoka ipo kwenye chaneli yangu ya YouTube ya Tymilyfe,” alisema msanii huyo mwenye asili ya Kenya.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles