31.7 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Tonton Fwamba kuileta ‘Chofele’

KENTUCKY, MAREKANI

MWANAMUZIKI wa miondoko ya Rhumba anayeishi Kentucky nchini Marekani, Tonton Fwamba, amesema mashabiki zake wakae tayari kupokea video ya wimbo, Chofele.

Akizungumza na MTANZANIA, Fwamba aliyewahi kutamba na wimbo, Zua Lokumu na My Fito alisema amekuwa akipokea jumbe nyingi kutoka kwa mashabiki wakitaka video ya wimbo huo uliotoka Februari mwaka huu.

“Audio ilipokewa vizuri, sasa najiandaa kutoa video kwahiyo mashabiki wakae karibu na chaneli yangu ya YouTube ili nikiachia waweze kuipata,” alisema mwanamuziki huyo mwenye asili ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles