28.2 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

TBL yazindua Mfumo bora wa malipo kwa wakulima

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mfumo wa mtandao wa malipo kwa wakulima unaojulikana kama ‘BanQu’ wa Kampuni ya TBL na Vodacom Tanzania Plc kupitia M-Pesa, Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom, Sitholizwe Mdlalose, akifafanua jambo wakati wa kuzindua Mfumo wa mtandao wa malipo kwa wakulima unaojulikana kama ‘BanQu’ wa Kampuni ya TBL na Vodacom Tanzania Plc kupitia M-Pesa, Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Jose Moran akielezea jambo wakati wa kuzindua Mfumo wa mtandao wa malipo kwa wakulima unaojulikana kama ‘BanQu’ wa Kampuni ya TBL na Vodacom Tanzania Plc kupitia M-Pesa, Dar es Salaam.
- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles