30.2 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Stephen Brown afungwa jela kisa Nick Minaj

nicki-minajNEW YORK, Marekani

MSANII wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Stephen Brown, amejikuta akiswekwa jela miezi minne baada ya kupiga simu polisi akidai msanii mwenzake, Nick Minaj, ametaka kumuua.

Pombe zilimfanya Brown, mwenye miaka 24, apige simu kituo cha polisi na kudai mwanadada Nick Minaj alitaka kumuua, lakini polisi walipofika eneo la tukio wakamkuta akiwa peke yake amelewa.

Kutokana na kitendo hicho cha kuwasumbua polisi, Brown amehukumiwa kifungo cha jela kwa miezi minne.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles