28.2 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

Stara atoa sababu ndoa za wasanii kuvunjika

Glory Mlay

MKONGWE wa muziki nchini, Stara Thomas, amesema ndoa nyingi za wasanii zinavunjika kutokana na kutokuaminiana wenyewe.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Stara alisema, wasanii wengi wanakurupuka kuingia kwenye ndoa wakiwa bado hawajajipanga ndio maana wanashindwana.

“Ndoa nyingi huwa zinavunjika kwasababu ya kukosekana kwa uaminifu na si pesa wala mali kama wengi wanavyoamini.

“Kila mmoja anakuwa hana imani na mwezake, kitu hicho hakiwezi kujenga uhusiano mzuri wala familia bora, lazima mwisho wa siku itavunjia, watu wajifunze kuwa waaminifu itawasaidia kwenye maisha yao,” alisema.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles