23.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 16, 2024

Contact us: [email protected]

Smart Africa Group yafuturisha wadau, watoto Dar

Sheikh wa Wilaya ya Ilala, Adam Mwinyipingu aliyemwakilisha Mufti Mkuu Sheikh Abubakar Zuber akizungumza jambo wakati wa futari iliyoandaliwa na Kampuni ya Smart Africa Group (SAG) kwa wadau wao wa biashara na watoto yatima wanaolelewa katika Msikiti wa Mtambani, Dar es Salaam jana jioni.
Ofisa Mtendaji wa Kampuni ya Smart Africa Group (SAG),Emmanuel Kawedi akizungumza jambo wakati wa futari iliyoandaliwa na kampuni hiyo kwa wadau wao wa biashara na watoto yatima wanaolelewa katika Msikiti wa Mtambani, Dar es Salaam jana jioni.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles