27.9 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

SHAMSA FORD ANAHITAJI WATOTO WANNE ZAIDI

Na KYALAA SEHEYE


MKE wa mfanyabiashara wa nguo, Rashid Said (Chid Mapenzi), Shamsa Ford, ameweka wazi kwamba baada ya kuishi katika ndoa kwa muda mrefu sasa anataka watoto wengine wanne.

Msanii huyo ambaye alifunga ndoa Septemba mwaka jana, aliliambia MTANZANIA kwamba ameshafanya mambo mbalimbali ya starehe na mume wake huyo na sasa umefika wakati wa kuongeza watoto wengine wanne ili idadi yao wawe watano.

“Kama kupendana tunapendana, hivyo tunahitaji kupata watoto wanne zaidi katika ndoa yetu ili tuongeze furaha ya ndoa na watoto hao nitawazaa haraka haraka ili niendelee na majukumu mengine ya kimaisha,” alisema Shamsa.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles