24.1 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Serikali yapiga marufuku wakuu wa vyuo kuingilia chaguzi za wanafunzi

Arodia Peter, Dodoma

Serikali imepiga marufuku wakuu wa vyuo vikuu nchini kuingilia chaguzi za wanafunzi vyuoni.

Kauli hiyo imetolewa leo Aprili 30, bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, William Ole Nasha, wakati wakati akihitimisha na kujibu hoja za wabunge kuhusu suala hilo.

Amesema wanafunzi wanaruhusiwa kufanya siasa zao vyuoni na wasiingiliwe kwenye chaguzi zao.

” Serikali haijazuia siasa vyuoni isipokuwa kinachokatazwa ni siasa za vyama vya siasa,” amesema Ole Nasha.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles