26.2 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

Serikali kujenga viwanda vya kusindika mazao

Ramadhan Hassan, Dodoma
Serikali inatarajia kujenga viwanda vya kusindika mazao ya uvuvi nchini kupitia Shirika la Uvuvi Tanzania (Tafico).

Hayo yameelezwa leo Jumatatu Mei 27 na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega wakati akijibu swali la Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema).

Katika swali lake Kubenea, lililoulizwa kwa niaba yake na Mbunge wa Viti Maalumu, Tunza Malapo (Chadema), alihoji ni lini na ni wapi Kiwanda cha Samaki cha Pwani kitajengwa hapo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles