23 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

Sekondari zaidi ya 1,000 zajengewa mabweni

Ramadhan Hassan, Dodoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa ,na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Seleman Jafo, amesema hadi sasa shule za sekondari 1,241 zimejengewa mabweni kati ya shule za sekondari 3,634 zilizopo kwa kutumia ruzuku kuu.

Jafo amesema hayo leo Jumatatu Mei 27, bungeni jijni Dodoma, wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Azza Hilaly Hamad (CCM).

Katika swali lake, Azza alihoji serikali ina mkakati gani wa kujenga mabweni katika shule za sekondari zilizoanzishwa kitarafa ili kuwasaidia watoto wa kike kupata elimu bora.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles