27.5 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Rose Ndauka: Napenda mwanamume mchapakazi

rosendauNA RHOBI CHACHA

MSANII wa Filamu za kibongo, Rose Ndauka, ameibuka na kudai kwamba yeye si mwanamke anayependa wanaume wenye uwezo mkubwa kama tuhuma dhidi yake zinavyoeleza.

“Mimi napenda mwanamume anayejielewa, mwenye upendo na mchapakazi, ikitokea ana fedha itakuwa imetokea lakini si mwanamke ninayependa pesa kuliko utu na mapenzi ya kweli,’’ alijinadi Rose na kuongeza:

“Unajua pesa sio kikwazo katika maisha yangu, kwa sababu najua kuitafuta hivyo siwezi kubweteka kwa kutaka mwanamume mwenye pesa, hilo kwangu halipo, ninachotaka awe na upendo na thamani kwangu, awe mfariji na si maumivu”.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles