27.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 18, 2024

Contact us: [email protected]

RAIS WA ZAMANI WA KOREA KUSINI AHOJIWA

Seoul, Korea Kusini


Rais wa Korea Kusini aliyeondolewa madarakani, Park Guen-Hye amehojiwa na waendesha mashitaka kuhusu kashfa ya ufisadi iliyosababisha  atimuliwe kwenye madaraka.

Park amehojiwa baada ya kuwakwepa waendesha mashitaka kwa miezi kadhaa wakati alipokuwa madarakani.

Amewaomba radhi wananchi lakini amekanusha kufanya makosa wakati alipowasili katika ofisi za waendesha mashitaka mjini Seoul na kuahidi kushirikiana kwa ukamilifu katika uchunguzi huo.

Wafuasi wa Park walikusanyika nje ya nyumba yake katika mtaa wa kifahari mjini Seol alipokuwa akisindikizwa na polisi kwenda  ofisi za wakuu wa mashtaka.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles